Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2017

IJUE BIBLIA - Sehemu ya I

Picha
UTANGULIZI Biblia ni nini? Biblia ni mkusanyiko wa vitabu 66 vilivyo andikwa na waandishi tofauti-tofauti 40 kwa takribani miaka 1500. Waandishi walikuwa wafalme, wavuvi, makuhani, viongozi wa serikali, wakulima, wachungaji, na madaktari. Biblia ni kitabu cha ajabu! Pamoja na kwamba vitabu vyake vimeandikwa na waandishi wengi tena kwa muda mrefu sana, bado kuna mtiririko na muunganiko wa ajabu kuanzia kitabu cha kwanza hadi cha mwisho. Hivyo basi kwa ujumla wake Biblia imeandikwa na wanadamu chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu wa Mungu